Naomba msaada wenu wana jf mm ni mwanafunz nilikubwa na hli janga la matokeo mabovu ya csee nimepata dv 4-29 nina d-6 na f moja cjui nifanyeje wana jf naomba msaada plz!!!
Dah kwa matokeo hayo umefaulu big up mana mwaka huu matokeo ya frm 4 umekaza ila nakujuza kapige crtfct chuo chchte mana marks zko znakuruhusu ku apply chuo ila 2 hakna kitu ambacho hakiwezekn kz 2 mdogo wngu!!!
kama una D ya physics,chemistry,biology,english na maths apply kusoma certificate in clinical medicine.angalia tangazo kwenye website ya wizara ya afya.
U tcha sawa nitakwnda bt nitapta hard comptn ktk ajira mana ningept v27 gvmnt ingeni spnsr ajira bt v29 natafta ajira mwenywe dats nikaamua ku apply crtfc chuo cha ushrka moshi crse ya microfinance management vp iko pouwa au ?
U tcha sawa nitakwnda bt nitapta hard comptn ktk ajira mana ningept v27 gvmnt ingeni spnsr ajira bt v29 natafta ajira mwenywe dats nikaamua ku apply crtfc chuo cha ushrka moshi crse ya microfinance management vp iko pouwa au ?