kaka umeshindwa hata kugoogle uingie e bay uone bei zake... hakuna bei maalumu ni kama tv kuna sony, samsung, hitachi etc..
kwa aina ambayo nilinunua mimi,,,,hadi ifike kila kitu mimi kilinigharimu 280,000 kwa aina niliyonunua.. vipo vya cheap zaidi..
mi nilinunua pound 80 ebay..