Naombeni kujua hii kitu ni nini na ina faida gani kwenye ulimwengu wa TVwazee maana naona zina trend sana siku hizi![]()
Lakini hiki kifaa sehemu ulipo inatakiwa mtandao uwe vizur?mi ninayo niliagiza ebay... ni mxq 4k tv box... toka imefika sijaangalia dstv kabisa... nashinda youtube tu kila nikirudi from job...
nimeacha kabisa kulipia dstv... mechi na stream tu
Lakini hiki kifaa sehemu ulipo inatakiwa mtandao uwe vizur?
Ebay wanauza shi ngap kakami ninayo niliagiza ebay... ni mxq 4k tv box... toka imefika sijaangalia dstv kabisa... nashinda youtube tu kila nikirudi from job...
nimeacha kabisa kulipia dstv... mechi na stream tu
Ebay wanauza shi ngap kaka
3g vipi haiwezi kutembea?kaka umeshindwa hata kugoogle uingie e bay uone bei zake... hakuna bei maalumu ni kama tv kuna sony, samsung, hitachi etc..
kwa aina ambayo nilinunua mimi,,,,hadi ifike kila kitu mimi kilinigharimu 280,000 kwa aina niliyonunua.. vipo vya cheap zaidi..
mi nilinunua pound 80 ebay..
mi ninayo niliagiza ebay... ni mxq 4k tv box... toka imefika sijaangalia dstv kabisa... nashinda youtube tu kila nikirudi from job...
nimeacha kabisa kulipia dstv... mechi na stream tu