Android Bootloop Bypassing

Android Bootloop Bypassing

AMLIGHT

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2013
Posts
1,140
Reaction score
843
Nna cm kama 3 za android ambazo nlizi soft brick wakat nlpoziroot na kutaka kuinstall fonts, zikaingia kwa bootloop mode, kwamb ile bootanimation inaendelea tu kuwepo na cm haiwaki ikamaliza, na pia button zote znakuwa unfunctional kias hata ukitaka kuizma haiwezekan labda utoe betri.

Sasa kuna jamaa yangu kashika cm 2 kazwasha na sahz n nzma na znatumika, lakn nlpomulza kafanyaje, akanijib ati hajui ni bahat tu na kwamb hawez kusema wala kuelezea mpk awe na cm mbovu afanye!

Najua kuna way ya kuzi bypass na kuziwasha kwa kutumia hardware buttons na kuingia recovery,lakn nimechemka!

Kama mtu anajua, pls pls anisaidie, nashndwa itumia cm nnayo kwa uhuru mana ikizingua itabid kuipeleka dar ikarekebishwe!
 
Nje ya topic kidogo, fonts installation ulifanikiwa?
 
Yap. Nlibadili kama 2 tyms, kwa kutumia jrummy root toolbox, bt ckushauri ujaribu, mpk utakapoweza kujua jinsi ya kurecover ukipata bootloop
 
nje ya topic kidogo, fonts installation ulifanikiwa?

Yap. Nlibadili kama 2 tyms, kwa kutumia jrummy root toolbox, bt ckushauri ujaribu, mpk utakapoweza kujua jinsi ya kurecover ukipata bootloop
 
Wipe dalvik cache, hio ndio basic solution ya bootloop. ukiingia recovery hutaiona mwanzo hadi uende advanced
 
wipe dalvik cache, hio ndio basic solution ya bootloop. ukiingia recovery hutaiona mwanzo hadi uende advanced

Cjapata dalvik cache, nimepata cache partition, kwa bahati mbaya, ckuinstall custom recovery kama CWM, natumia basic android system recovery (ASR). Thanx for advice, tho.
 
Cjapata lnk "advanced"
 

Attachments

  • 1414606967185.jpg
    1414606967185.jpg
    53.5 KB · Views: 111
Press power buton + up volume + home key simultaneously
Then release as you see recovery menu
 
Mm nina motorola nayo inazingua kuwaka kwan nilifrash ikashindw kumaliza
 
Shukrani mkuu, kwa ushauri

Ukiwin kubadili fonts, ukweli, cm inakuwa unique, kiasi kwamb inakuwa kama ni version mpya ya cm wengne wanazo, lakn ni the riskiest business baada ya kuroot simu.... Japo playstore wana app ya kubadili fonts, lakn naogopa kuijaribu... Hyo ni kumess na system configurations
 
Back
Top Bottom