anayeuza samsung galaxy s3 kwa 450000 tshs

anayeuza samsung galaxy s3 kwa 450000 tshs

elmagnifico

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2011
Posts
8,260
Reaction score
9,743
kama kuna mwenye hyo simu ikiwa katika hali nzuri na kwa hyo bei ikiwa na charger na ear phone anaweza ni pm tufanye bzness
 
kama kuna mwenye hyo simu ikiwa katika hali nzuri na kwa hyo bei ikiwa na charger na ear phone anaweza ni pm tufanye bzness

love za kupotea?kumbuka no guarantee wala warranty love jipigepige uende dukani
 
love za kupotea?kumbuka no guarantee wala warranty love jipigepige uende dukani

hahaha nataka kumpa nyumba ndogo sa kwenda dukani ntafikiska. mekumiss love
 
kama kuna mwenye hyo simu ikiwa katika hali nzuri na kwa hyo bei ikiwa na charger na ear phone anaweza ni pm tufanye bzness

mimi ninayo ila bei yako ni ndogo,simu yangu naiuza laki 7 bila punguzo hata la nusu sent,nimeitoa korea,ninazo mbili
 
nina samsung s3 mini nauza 450k karibu cc elmagnifico
samsung-galaxy-s-iii-mini-i8190-3.jpg
 
Last edited by a moderator:
Kuna i phone 5 kwa laki 9, samsung s2kwa laki 4 na experia SL laki 5 zote ni brand new
 
Kaka siku zijazo usiumize kichwa kununua jina, almost kampuni zote za simu zinatumia Android kwahiyo vitu vyote vinavyopatikana kwenye hiyo samsung vinapatikana kwenye tecno ya bei ndogo tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom