ANZURUNI SHEMU
Member
- Nov 5, 2012
- 38
- 3
Natafuta mashamba ya kununua, yawe mkoani morogoro Tanzania na niweze kulima kilimo cha umwangiliaji. Ambaye anayo naomba anitafute tuongee.
Lipo shamba dumila na Lina visima vya maji ukubwa Nyumba ukubwa hekari 105 bei 600 million na Lina hatiNatafuta mashamba ya kununua, yawe mkoani morogoro Tanzania na niweze kulima kilimo cha umwangiliaji. Ambaye anayo naomba anitafute tuongee.
Nina hekari tano, kijiji cha maji chumvi,mkundi, kilomita 20 toka msavu barabara ya dodoma, kilomita tisa toka bara bara kuu. nicheki:0713-039875.Laki sita kwa kila hekaNatafuta mashamba ya kununua, yawe mkoani morogoro Tanzania na niweze kulima kilimo cha umwangiliaji. Ambaye anayo naomba anitafute tuongee.
Yawe karibu na mto.Unataka yawe Karibu na MTO ama utachimba kisima???
Japo sio uzi wako ila funguka zaidi.Kuna viwanja eneo la mindu. Anyone with interests tuwasiliane
Mkuu kuna viwanja eneo la mindu pale vinauzwa. Karibu na wanaposimama matrafikiJapo sio uzi wako ila funguka zaidi.
Vimepimwa??? Ni vya ukubwa gani??Mkuu kuna viwanja eneo la mindu pale vinauzwa. Karibu na wanaposimama matrafiki
Eneo nikubwa sana chief, unaongelea kuhusu 20+ of Ha. Halijapimwa bado, ila liko ndani ya manispaa. Kutoka barabara kuu ya moro-iringa ni almost dakika tano kwa mguuVimepimwa??? Ni vya ukubwa gani??
Owk poa boss ngoja nianze kufanya research. Am sure nitakufikia tu wewe mwenyewe kama ndio muhusika kwa kukutafuta physically maana naona bei haya ya ha hujapenda nijue.Eneo nikubwa sana chief, unaongelea kuhusu 20+ of Ha. Halijapimwa bado, ila liko ndani ya manispaa. Kutoka barabara kuu ya moro-iringa ni almost dakika tano kwa mguu
Usijali kiongozi. Anytime.Owk poa boss ngoja nianze kufanya research. Am sure nitakufikia tu wewe mwenyewe kama ndio muhusika kwa kukutafuta physically maana naona bei haya ya ha hujapenda nijue.
Nina hekari tano, kijiji cha maji chumvi,mkundi, kilomita 20 toka msavu barabara ya dodoma, kilomita tisa toka bara bara kuu. nicheki:0713-039875.Laki sita kwa kila heka
Eneo nikubwa sana chief, unaongelea kuhusu 20+ of Ha. Halijapimwa bado, ila liko ndani ya manispaa. Kutoka barabara kuu ya moro-iringa ni almost dakika tano kwa mguu