willetraveller
Member
- Dec 17, 2015
- 12
- 2
Habari wakuu.
Naomba kama kuna mtu yeyote anayesafiri na private na ina nafasi ya watu wawili kuelekea Arusha na Moshi siku ya ijumaa asubuhi na mapema tuwasiliane tafadhali.
Mabasi yamekuwa mtihani wadau.
Naomba kama kuna mtu yeyote anayesafiri na private na ina nafasi ya watu wawili kuelekea Arusha na Moshi siku ya ijumaa asubuhi na mapema tuwasiliane tafadhali.
Mabasi yamekuwa mtihani wadau.