Anayelogwa ni nani?

Anayelogwa ni nani?

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
37,118
Reaction score
55,542
Kuna hii dhana ya watu kutumia ulozi ili kufanikiwa kibiashara, kupandishwa vyeo, kuteuliwa n.k

Na wengine wanaenda kwenye madhehebu, yenye uelekeo huo; utumiaji maji, chumvi, mafuta, kutoa sadaka kubwa n.k

Ingawa haya mambo ufanyika gizani; ila kwa sisi jamii, tunakuja kuona matokeo tu; mara jamaa ana biashara kubwa, mara jamaa amekuwa CEO n.k

Swali la kujiuliza; katika hayo mazingira, anayelogwa ni mpandisha cheo au mpandishwa cheo? Na katika biashara, anayelogwa ni mnunuzi (wateja) au mwenye biashara?​
 
Unalogwa ulimwengu wa roho unajibu huku mwilini, ni kama kupanda mmea ukaweka mbolea na maji utastawi sana kuliko usio na mbolea au maji, changamoto ni kuzoea mbolea ukikosa unanyauka
 
Unalogwa ulimwengu wa roho unajibu huku mwilini, ni kama kupanda mmea ukaweka mbolea na maji utastawi sana kuliko usio na mbolea au maji, changamoto ni kuzoea mbolea ukikosa unanyauka
Bado kuna maswali mengi ya kujiuliza mkuu; najaribu kutafuta tafiti zilizofanywa na wabobezi mbalimbali, bado kuzipata.
 
HAYO MAMBO YA KIROHO ZAIDI, ANALOGWA MHUSIKA ANAEKWAMISHA MAENDELEO YA MWENZAKE
 
Back
Top Bottom