Kuna hii app ya mikopo ya online, inayoitwa Swift Fund, hawa ni wezi kabisa.. Unakopa, wakati wa kulipa wanakutumia link, unalipa, na Deni lako linaendelea kuwepo, hakuna kinachobadilika!
Unamaliza deni, wa naendelea kukusumbua kila siku, na kila siku anakupigia mtu mpya, wanakuchafua kwa kuwatumia msg watu wako walio kwa phone book.
Anayejua namna ya kukomesha hili plz, asaidie njia ya kufuata.
Unamaliza deni, wa naendelea kukusumbua kila siku, na kila siku anakupigia mtu mpya, wanakuchafua kwa kuwatumia msg watu wako walio kwa phone book.
Anayejua namna ya kukomesha hili plz, asaidie njia ya kufuata.