Anayeamua ni nani kati ya mwanamke au mwanaume kuhusu kuoa/ kuolewa

uajekundu

JF-Expert Member
Jan 14, 2016
541
461
Habari wanajamvi,
Naomba kujua eti anayeamua kufunga ndoa kati ya wapenzi ni mwanamke au mwanaume?,

Maana kuna rafiki yangu mmoja hamuelewi boyfrend wake..
Hivyo napenda kujua je ni sawa mwanamke kumlazimisha mwanaume kufunga ndoa au ni mpaka mwanaume mwenyewe aamue?
 
Habari wanajamvi, naomba kujua eti anayeamua kufunga ndoa kati ya wapenzi ni mwanamke au mwanaume?, manake kunarafiki yangu mmoja hamuelewi boyfrend wake..ivo napenda kujua je ni mwanamke kumlazimisha mwanaume au ni mpaka mwanaume mwenyew aamue?
Kama shoga yako ana mtu mwingine wa kumuoa aolewe nae basi sio aanze usumbufu
 
Kama shoga yako ana mtu mwingine wa kumuoa aolewe nae basi sio aanze usumbufu
Hana na anaona umri unaenda mshkaji haeleweki, anatamani kumfosi alianzishe kumtambulisha japo mkaka hana time kabisaaaaa...mdada ana 27
 
Melete kwangu mrembo me sirembi nachukua wife faster.
Tatizo sisi ambao hatujaoa tukiwatongoza et nina mtu kumbe analiwa uroda then anakumwaga. Na mtaisoma number nyie endeleeni kusema nina mtu! Then uzeeke kabisa bila kuolewa.
 
Mara nyingi kama mwanamke amependa na mwanaume hajafika hakuna kitakachoendelea lakini kama mwanaume amependa ndoa itakuwepo. Nikishaona mwanaume hasomeki sipotezi muda.
Nimepata habari kuwa wewe ni kinara wa kuosha rungu,kuna ukweli wowote hapo mkuu au ni tetesi tu za shilawadu wa JF??
 
Back
Top Bottom