bandah
Member
- Jul 29, 2016
- 68
- 19
Hi wana jf
Mdogo wangu amehitimu form six mwaka huu kwa kupata matokeo yafuatayo
Physics-D
Chemistry-C
Advanced Mathematics-C
Yaani division two of point 10....
Sasa anawasiwasi kama atachaguliwa kwa hiyo selection yake au lah....
Hebu wazoefu mpeni ukweli kama kwa ufaulu huo atapita au aangalie utaratibu mwingine kabla ya dirisha kufungwa....
Waungwana nawasilisha kwenu....
Natanguliza shukrani zangu...
Karibu tushirikiane kumjuza bwana mdogo
Mdogo wangu amehitimu form six mwaka huu kwa kupata matokeo yafuatayo
Physics-D
Chemistry-C
Advanced Mathematics-C
Yaani division two of point 10....
Sasa anawasiwasi kama atachaguliwa kwa hiyo selection yake au lah....
Hebu wazoefu mpeni ukweli kama kwa ufaulu huo atapita au aangalie utaratibu mwingine kabla ya dirisha kufungwa....
Waungwana nawasilisha kwenu....
Natanguliza shukrani zangu...
Karibu tushirikiane kumjuza bwana mdogo