Anataka mwanae

Khaaaa mi ningemwambia hana mtoto na sijawahi kubeba mimba yake
BADILI TABIA nadhani utakuwa umekosea kidogo!
Hii ni kwa kuwa ulimweleza kuwa u mjamzito.
Jibu sahihi ni kuwa baada ya kuikataa mimba niliitoa;
Ulitaka nilee mimba yako na nani?

Bazazi
 
Last edited by a moderator:
sina uhusiano wowote na huyo mwanaume hata hisia kwake ziliisha siku nyingi namba yangu nimebadilisha zaid ya mara mbili bado anaipata sijui anaipata wap nimeagiza hata security guards wasimruhusu kuja ofisin kwangu tena,mume wangu nilihofia kumwambia kwa kuhofia machungu atakayoyapata baada ya kumpa hiyo taarifa can you imagine hata baadhi ya mali zetu amewaandikisha watoto wote wawili,kutokana na huu ushauri ninatafuta mda niongee na mume wangu nimtaarifu juu ya usumbufu wa huyu mtu kwan nimegundua kwa kufanya siri inaweza kumuumiza zaid nitawaupdate his reaction
 
sina uhusiano wowote na huyo mwanaume hata hisia kwake ziliisha siku nyingi namba yangu nimebadilisha zaid ya mara mbili bado anaipata sijui anaipata wap nimeagiza hata security guards wasimruhusu kuja ofisin kwangu tena,mume wangu nilihofia kumwambia kwa kuhofia machungu atakayoyapata baada ya kumpa hiyo taarifa can you imagine hata baadhi ya mali zetu amewaandikisha watoto wote wawili,kutokana na huu ushauri ninatafuta mda niongee na mume wangu nimtaarifu juu ya usumbufu wa huyu mtu kwan nimegundua kwa kufanya siri inaweza kumuumiza zaid nitawaupdate his reaction
 
i cant imagine my hubby atasema nn ila niataongea nae
 
acha tuu dada najua na nauthamin upendo na utu wa my hubby amefanya zaid ya alivyotakia kufanya thanks to god kwa kunipa mume wa namna hii nilihofia kumwambia kuhusu usumbufu wa huyo hayawan kwa kuogopa kumuumiza ila kutokana na ushaur niliopata humu itanibid niongee nae kila kitu kuhusu huyo jamaa sijui itakuwaje naomba mungu anielewe i cant say nitaongea nae leo coz itanibid niandae mazingira nakumsoma mud yeke ikoje ila hii wk haitaisha nitaongea nae thanks kwa maombi kwan najua bila mungu haya mambo ni magumu
 
wanaume wengine majanga alikataa mimba, kaona miaka 3 hajapata mtoto kakumbuka mimba aliyoikataa, ingekuwaje kama angebahatika kupata mtoto angekumbuka kweli hiyo mimba aliyoikataa? HAKUNA KUPEWA MTOTO.
 
najua na nauthamin upendo na utu wake kwangu thats why niliogopa kumwambia kwa kuogopa kumuumiza ,naahid kuongea nae ndan ya wk hii itanibid niandae mazingira coz sio kitu kidogo hich naomba mungu anielewe natufikie gud solution asante kwa maombi may god bless u
 
jadiliana na mumeo kinachokutokea upande wako , halafu jadilianeni na mwanasheria wenu atakuhabarisha zaidi hiki ulichouliza hapa........
huyo jamaa inaonekana ni miaka 5 iliyopita ,,,, sasa swali langu inakuwaje awe na namba zako leo?
inakuwaje anapafahamu mpaka kazini kwako?
jamani x ni x tu , hapaswi kujua details zako hata moja............
ukishindwa kudeal naye kisheria , mwambie mimba ulitoa........ akiendelea kukomaa.............
 
^^
Simama kwenye uamuzi wako,,watu tunatafuta watoto wa kusingiziwa hafu yeye anawakataa!
Leo ndo amekuwa mtoto!
Simama hapo hapo usicheze cheze.
^^


mkuu upo serious?
khaaaaaa!!!!!!! kwani unatatizo?
 
Wanaume huwa mnafurahisha sana, wakati wa starehe hivi huwa hamjui baadae kuna matokeo gani yanafuata??
 
ni muhimu sana ukakaa chini na mumeo muliangalie hili swala kwa kina....
ni muhimu kuzingatia maamuzi yake.
 
mwambie baada ya yeye kukataa uliitoa ile mimba!! so asikutafute kabisa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…