Anataka mimba

Kwanini useme hii ni News Alert?
unamwalert nani sasa?
 
kama mwanamke anataka mimba unaomba ushauri wa kwenda kusaidiwa au
 
kwani wewe una ajenda gani na yeye!

Nilitaka aje awe mama watoto wange siku za baadae ila sio kwasasa na ndo maana sijataka hata kushiriki nae! But nashangaa kasi anayokuja nayo hasa kipind hiki anachokwenda maliza chuo!
 
Nilitaka aje awe mama watoto wange siku za baadae ila sio kwasasa na ndo maana sijataka hata kushiriki nae! But nashangaa kasi anayokuja nayo hasa kipind hiki anachokwenda maliza chuo!
basi mpotezee hakufai!
 
Hunaweza kuta Ana mimba ya mtu mwingine tayari anataka kukuvesha nyago...
 

Mtoto akililia wembe mpe!
 
wanachuo wanadanganyika sana na maisha ya chuo...hawajui life linakaba vipi mtaan

We mwache waalaa usimpe mimba aje mtaani akae a year uone kama atadai mimba.Hapo kaona shoga yake anamimba basi nae anafata mkumbo....wazembe sana kufikiri hawa watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…