Anatafutwa kijana wa chips

Anatafutwa kijana wa chips

Asilimia kubwa vijana ni pasua kichwa mm nina gori la chips lakini ikija kwenye mauzo siasa kibao lakini vitu vime kwisha yani ukimpata mtu mwelewa n biashara nzuri sana
Acha Tu Wangu Alikua Anaiba Mpaka Mayai Yanayohesabika,ukifata Mahesabu Bla Bla
 
Acha Tu Wangu Alikua Anaiba Mpaka Mayai Yanayohesabika,ukifata Mahesabu Bla Bla
Mm walipo nitia hasara niki waambia nafunga gori nauza kila kitu mana ni hasara napata hawataki nilifunge.. Kuna mtu akanishauri kuwa wao ndo wanilipe mm basi nika wambia kila siku wanipe 10,000/= wao wata jijuwa wenyewe wata jilipaje wata kuwa wana toa kiasi gani cha hela ya bidhaa ndo mkataba mpya nilio ingia nao
 
Aisee tunataka tufungue biashara lakini tatizo wauzaji wanaiba sana,mi nilitaka nifungue Grocery sehemu,naambiwa nijiandae kuibiwa kupo,nimerudisha pesa kwenye account...
 
Aisee tunataka tufungue biashara lakini tatizo wauzaji wanaiba sana,mi nilitaka nifungue Grocery sehemu,naambiwa nijiandae kuibiwa kupo,nimerudisha pesa kwenye account...
Unachp kisema ni cha kweli kabisa ndugu.. Na kama nawe ume ajiriwa basi andika maumivu zaidi mana mda wa ucmamizi wa karibu hutakuwa huna.. Ila usikate tamaa angalia plan B uweze kuwekeza mwanzo huwa mgumu ila baadae ni mteremko tu na uwe mkali kwao kiasi pindi utakapo fungua na kuwatengeneza mashushu wenyewe kwa wenyewe bila wao kuji tambua na kila mtu kwa wakati wake ana kuletea taarifa za mauzo. Aliyo uza kwa siku hiyo arf unaenda una linganisha na za counter wako
 
Mzee baba ee kuna jamaa yangu mmoja yuko huko huko Dar es Salaam. Njoo pm nikupe contact zake. Nakuhakikishia jamaa yuko vizuri sana kwa hizo mambo.
 
Kwann usisimamie mwenyewe mkuu
Boss mm kusimamia mwenyewe mwanzo mwisho huwa ngumu mana nina biashara nyingine nayo ifanya.. Ila nilicho fanya kwa sasa nime wapa hesabu kila siku jioni wani letee arf wao watajuwa wenyewe wajilipe shilingi ngapi na hapo hapo watoe hela ya mahitaji ya ofc
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom