Anatafutwa kijana wa chips

Anatafutwa kijana wa chips

zione

New Member
Joined
Mar 31, 2018
Posts
1
Reaction score
1
anatafutwa kijana anaejua kukaanga chips, kuku, mishkaki, samaki na kutengeneza kachumbari. awe mwaminifu. Eneo n Dar es salaam. kwa maelezo zaidi piga 0762660320
 
Mkishakuwa humu ndani mnajikuta mna akili sana,

Ila wacha nikwambie wewe ni mpumbavu sana,

Usijione mjanja kuishi kwa shemeji yako,
Hujajibu nilichokuuliza humu ndiyo ulipoambiwa kuna hao wanaotafuta hizo kazi? Tuanzie hapo kisha nikwambie kwa shemeji palivyo na raha.
 
Toa location ndo tuanze kitafutana ktk cm
 
Hujajibu nilichokuuliza humu ndiyo ulipoambiwa kuna hao wanaotafuta hizo kazi? Tuanzie hapo kisha nikwambie kwa shemeji palivyo na raha.
Sna hivi shemeji yako ana chumba na sebule tu dada akiwa anatinduliwa na wewe unasikilizia huku
 
Asilimia kubwa vijana ni pasua kichwa mm nina gori la chips lakini ikija kwenye mauzo siasa kibao lakini vitu vime kwisha yani ukimpata mtu mwelewa n biashara nzuri sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom