Deogratius n
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 1,193
- 254
Jamani kuna ndugu yupo mtaani huu mwaka sasa. Ana diploma ya procurement and logistic management yenye GPA ya 3.5 kutoka T.I.A yupo tayari kufanya kazi mkoa wowote.
Akasome bachelor.
inawezekanafinancially hayupo vizuri. Vp anaweza akapata mkopo loan board kwa ku2mia cheti cha diplo?
Jamani kuna ndugu yupo mtaani huu mwaka sasa. Ana diploma ya procurement and logistic management yenye GPA ya 3.5 kutoka T.I.A yupo tayari kufanya kazi mkoa wowote.
Tafuta Mwananchi ya jana tarehe 25 kuna kampuni siikumbuki jina imetangaza nafasi za kazi kibao ikiwemo na hiyo ya ugavi