Mbavu za Mbwa
JF-Expert Member
- Jan 2, 2011
- 303
- 154
Wana jukwaa!! Mama yangu mwenye umri wa miaka 58 anasumbuliwa na miguu. Inamuuma kuanzia ktk magoti hadi katika nyayo. Anaumwa nyama pamoja na mifupa ya miguu. Tatizo hili linaweza kutibiwa na dawa gani?