Anasema Happy Joseph aka BIBI!

Anasema Happy Joseph aka BIBI!

chambimagaka

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2017
Posts
288
Reaction score
338
Turudi nyuma kidogo.
Musiba alikuwa wa kwanza kumpinga Lisu kwamba Tanzania Si salama. Baada Ya kushindwa kumshtaki akasahau alichosema, akaja na majina Ya watu hatari. . Tena akielezea hatari yao Tangu miaka kadhaa ilitopita. . . Maana yake ni kwamba, anakubaliana na Lisu kwamba Tz si shwari, Ila ameamua kulielezea hilo kwa maneno mengine. . . Maana Inabaki kuwa sawa. . .

Lakini. . .
Polisi ikaunga mkono kwamba imepokea hizo taarifa na inachunguza. . . Bila kujali kama zimetolewa na kichaa. . . Tunajiuliza. . .

1. Kama mtu mmoja Ameweza Yeye mwenyeww Kujua watu hatari, bila rasilimali wala vifaa, intelijensia Ya polisi ina Kazi gani ?
2. Ikitokea kuwa ni kweli, kUna haja gani Ya kuwa na kitengo cha usalama kisicho na macho ?
3. Ikitokea kuwa ni uongo, huyu mropokaji atachukuliwa hatua gani Za kiusalama kwa kuzua hofu kwa watanzania kwamba Kuna watu hatari ?
4. Hivi kila mtu mwenye taarifa Ya watu hatari angejianika kwenye vyombo vya Habari, Hali ingekuwaje ?
5. Kama. Kweli waliotajwa ni watu hatari, kwa nini Musiba amekuja public na Si kupeleka taarifa hii wa Siri kusaidia polisi? Anajiamini nini ? Amepewa ulinzi kama Yule alotaja wauza unga ? Au ndio ukichaa aliousema aliyemjibu ?
6. Kwa majina yaliyotajwa, ni watu wanaojulikana, Hao ni 10, je WASIOJULIKANA hawajapatikana. . . Je, nchi ni salama ?
7. Polisi inajisikiaje kuzidiwa kete kikazi na kijana mmoja? Hakuna aliyejiuzulu kwa Aibu ?
8. Lakini. . . . Kwa nini Musiba ametaja majina Ya watu siku Za karibuni, ambao kwa maelezo yake alijua ni wahalifu Tangu enzi Za uchaguzi Akaamua kunyamaza? Alikuwa na ajenda gani nao ? Je Yeye Si accomplice wa uhalifu ?
9. . . . .
Niishie hapo kwanza. . .
Bibi Happy J
 
Ivi kwani huyu aliyetaja wenzie je jina lake anaitwaje mi nazani tuanzie kwenye kutafasiri ili jina tukishapata maana ya jina lake kisha tutafasiri mana ya jina la yule kamanda some one zirooooo tukisha pata maana yake kisha tutafasiri maana ya lile jina alcohol forex kisha tuje kutafasiri lile jina huyu mtoto wa mungu aitwaye msaidizi wa dreva kwenye madaladala mkimaliza kuyatafasiri basi mmalizie na la yule wa ndani aitwaye fulani machemba ya choo kisha malizia na yule wa dar aitwaye mathings iz now tukimaliza kupata maana ya aya majina basi tusijiulize kwanini bwana kifo alitapika huo uharo
 
Ivi kwani huyu aliyetaja wenzie je jina lake anaitwaje mi nazani tuanzie kwenye kutafasiri ili jina tukishapata maana ya jina lake kisha tutafasiri mana ya jina la yule kamanda some one zirooooo tukisha pata maana yake kisha tutafasiri maana ya lile jina alcohol forex kisha tuje kutafasiri lile jina huyu mtoto wa mungu aitwaye msaidizi wa dreva kwenye madaladala mkimaliza kuyatafasiri basi mmalizie na la yule wa ndani aitwaye fulani machemba ya choo kisha malizia na yule wa dar aitwaye mathings iz now tukimaliza kupata maana ya aya majina basi tusijiulize kwanini bwana kifo alitapika huo uharo
Sijaelewa kabisa mkuu
 
Sijaelewa kabisa mkuu
Ili uelewe mkuu inabidi ujivike akili za malyamungu wa apa tanzania kisha jumlisha na zile za malaika wa koromije ukimaliza rudia kusoma utaelewa kilichoandikwa apo juu
 
Ili uelewe mkuu inabidi ujivike akili za malyamungu wa apa tanzania kisha jumlisha na zile za malaika wa koromije ukimaliza rudia kusoma utaelewa kilichoandikwa apo juu
Mmmmh?
 
Mleta hoja pokea like ya nguvu kutoka kwangu kwa maswali yako yaliyokwenda shule! Naamini kuwa, kwa viongozi makini wangejiuliza maswali haya kabla ya kwenda kwenye media walitakiwa wawe wameziacha ofisi za umma mapema kabisa! Kwa kuwa nao ni kundi moja namaanisha lenye kufanana kiueledi na lenye kutekeleza mpango mkakati mmoja basi wameamua kujibu walivyijibu bila kujua wanaowasikiliza wana akili kubwa!
Ukijiuliza sana utaishia kufahamu ni kwanini Saddam Husein wa Iraq alishindwa vita ile kizembe kuwa ni kwasababu aliwajaza watu wasio na uelewa kwenye ofisi za umma akiwemo Ally chemical!
 
Back
Top Bottom