Ni ushauri kutoka kwenu wana jamii...maana nina rafiki yangu...yeye anapenda sana totoz ila hasa wake au wapenzi wa watu wa karibu naye hasa mabest zake...sasa amenisimulia hali hiyo pamoja na kukiri kuwa ni shida ila sioni kama anajuta maana ndio kwanza baada ya muda utamsikia anaanza kusifia demu mwingine wa rafiki mwingine...wandugu neno la kumshauri japo kumsaidia aache tabia hiyo mbaya na hatari kwa mahusiano katika jamii.