Anaolewa: All the best kipenz changu

Anaolewa: All the best kipenz changu

pathfinder_tz

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2018
Posts
356
Reaction score
377
Dah.. cjawahi kufikiria hii kitu kama cku moja itakuja kutokea kwangu..
Hiv inakuaje unakuwa na girlfriend ambaye anakaa kwao but mnaonana na mnaasiliana karibia kila cku kma sio kila wakat..
Na tendo mnashirki kila wakat.. na ni fund haswaa..
Na sijawah ku suspect kama atakuwa na mtu mwingine mpaka leo asubuh..
Nimeamka nakuta text like morning hun..
Nikajibu kama kawaida..
Iliyofuata ndo nikachoka kabisa ananiambia baby mi naolewa ijumaa.. ni muislam by the way..
Mwanzo nilifikir sikukuu ya wajinga kama ilivyo kawaida tar mosi april..
Lakin hapana anamaaisha anachokisema na anataka baraka zangu..
Bas kwasasab ndoa ni jambo jema na mm nikaangalia raman zangu kwa sasa kuhusu kumuoa bado hazijakaa poa though alikua anapata ekila ktu alichokuw anahitaj..

Bas nikampa go ahead akaniacall tukaongea akaanza kulia.. nikamuuliza mbona ghafla!?? Je umeridhia kuolewa!? Akajibu yah ameridhia.. bas nikamwabia m glad amekuwa honest hakutaka kunifichacoz ingeniuma sana..
Ikabid hata hayo maswali mengne nisimuulize kwasabab hayakuwa na maana kwa wakat huo na wala yasinge rudisha wakat nyuma.
Nampenda n she knows that.. but situation kama hiz znatokea..
All the best kipenz changu i hope he is perfect match for her n atakuwa salama huko atakapoenda.
 
Hao ndo wana wa kike. Kumbe wewe ndo umesababisha jamaa kachukua mtumba?
Ama kweli waswahili walisema "Ganda la muwa la jana chungu kaona kivuno"
Lakini uwe makini tu usije kuendelea kumfuatilia baada ya kuolewa, maana wengine huwa wanajisahau na kumwona mke wa mtu kama single mother.
Ni hatari sana!
 
Dah.. cjawahi kufikiria hii kitu kama cku moja itakuja kutokea kwangu..
Hiv inakuaje unakuwa na girlfriend ambaye anakaa kwao but mnaonana na mnaasiliana karibia kila cku kma sio kila wakat..
Na tendo mnashirki kila wakat.. na ni fund haswaa..
Na sijawah ku suspect kama atakuwa na mtu mwingine mpaka leo asubuh..
Nimeamka nakuta text like morning hun..
Nikajibu kama kawaida..
Iliyofuata ndo nikachoka kabisa ananiambia baby mi naolewa ijumaa.. ni muislam by the way..
Mwanzo nilifikir sikukuu ya wajinga kama ilivyo kawaida tar mosi april..
Lakin hapana anamaaisha anachokisema na anataka baraka zangu..
Bas kwasasab ndoa ni jambo jema na mm nikaangalia raman zangu kwa sasa kuhusu kumuoa bado hazijakaa poa though alikua anapata ekila ktu alichokuw anahitaj..

Bas nikampa go ahead akaniacall tukaongea akaanza kulia.. nikamuuliza mbona ghafla!?? Je umeridhia kuolewa!? Akajibu yah ameridhia.. bas nikamwabia m glad amekuwa honest hakutaka kunifichacoz ingeniuma sana..
Ikabid hata hayo maswali mengne nisimuulize kwasabab hayakuwa na maana kwa wakat huo na wala yasinge rudisha wakat nyuma.
Nampenda n she knows that.. but situation kama hiz znatokea..
All the best kipenz changu i hope he is perfect match for her n atakuwa salama huko atakapoenda.
Kaka pole japo nimependa how mature ulivyo respond kwake. Yes inauma, but humkumtakia mabaya wala kulaani. Japo mlikuwa kwenye mahusiano nakwambia huyu mwanamke hatakaa akusahau mpaka kufa kwake kwan utaendelea kuwa na nafasi kwenye moyo wake always.
Usishangae akiendelea kukutafuta kw amsaada au ushauri.

It is painful but beautiful breakup. Hakuna uadui wala vinyongo.
All the best for her
 
Usijali mkuu huyo atakuletea papuchi tu... Wacha akalishe azidi kunawiri... Papuchi hatakunyima
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Haya mambo yanatokeaga sana unapokuwa kwenye mahusiano ya muda mrefu ukiwa wewe huna hata wazo la future katika mahusiano yenu

Kutokana na jiografia yetu wanaume mara nyingi tunajisahau na kutokuwa tayari na hatua ya pili inayofuatia ambayo ni ndoa hata kama umri umefika

Wanawake wapo makini sana sababu wana biological clock hivyo wao ndio mara nyingi wanatakiwa kutukumbusha na kutulazimisha kuhusu ndoa

Sasa wewe uliangukia kwenye group hilo la kujisahau na ndio hivo tena majuto ni mjukuu
 
Pole,kwa vile wewe ulikuwa unajipanga bado(haukuwa tayari kumuoa kwa wakati huu) nafsi yake pengine ilikuwa inatamani ndoa basi tumtakie kila la heri akapate kutulia kwenye ndoa yake,na akusahau kabisa!
 
Hii kitu isikie kwa mwenzako.
But hapa simlaumu huyo Bi Dada.Wakati ulifika wewe eti Bado mpaka ununue Helicopter???????? Eti unasema kabisa hukuwa tayari(haya amewahiwa)
Japo anaonyesha anakupenda wewe
Ila mwache aende salama msijenge Chuki.This is World!!
 
Kabisa Mkuu huyo mrembo inaelekea hatakuwa na lalam kabisa katika kuendelea kumvulia picchu anaweza hata kumwambia nataka mimba yako.

Usijali mkuu huyo atakuletea papuchi tu... Wacha akalishe azidi kunawiri... Papuchi hatakunyima
 
Back
Top Bottom