pathfinder_tz
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 356
- 377
Dah.. cjawahi kufikiria hii kitu kama cku moja itakuja kutokea kwangu..
Hiv inakuaje unakuwa na girlfriend ambaye anakaa kwao but mnaonana na mnaasiliana karibia kila cku kma sio kila wakat..
Na tendo mnashirki kila wakat.. na ni fund haswaa..
Na sijawah ku suspect kama atakuwa na mtu mwingine mpaka leo asubuh..
Nimeamka nakuta text like morning hun..
Nikajibu kama kawaida..
Iliyofuata ndo nikachoka kabisa ananiambia baby mi naolewa ijumaa.. ni muislam by the way..
Mwanzo nilifikir sikukuu ya wajinga kama ilivyo kawaida tar mosi april..
Lakin hapana anamaaisha anachokisema na anataka baraka zangu..
Bas kwasasab ndoa ni jambo jema na mm nikaangalia raman zangu kwa sasa kuhusu kumuoa bado hazijakaa poa though alikua anapata ekila ktu alichokuw anahitaj..
Bas nikampa go ahead akaniacall tukaongea akaanza kulia.. nikamuuliza mbona ghafla!?? Je umeridhia kuolewa!? Akajibu yah ameridhia.. bas nikamwabia m glad amekuwa honest hakutaka kunifichacoz ingeniuma sana..
Ikabid hata hayo maswali mengne nisimuulize kwasabab hayakuwa na maana kwa wakat huo na wala yasinge rudisha wakat nyuma.
Nampenda n she knows that.. but situation kama hiz znatokea..
All the best kipenz changu i hope he is perfect match for her n atakuwa salama huko atakapoenda.
Hiv inakuaje unakuwa na girlfriend ambaye anakaa kwao but mnaonana na mnaasiliana karibia kila cku kma sio kila wakat..
Na tendo mnashirki kila wakat.. na ni fund haswaa..
Na sijawah ku suspect kama atakuwa na mtu mwingine mpaka leo asubuh..
Nimeamka nakuta text like morning hun..
Nikajibu kama kawaida..
Iliyofuata ndo nikachoka kabisa ananiambia baby mi naolewa ijumaa.. ni muislam by the way..
Mwanzo nilifikir sikukuu ya wajinga kama ilivyo kawaida tar mosi april..
Lakin hapana anamaaisha anachokisema na anataka baraka zangu..
Bas kwasasab ndoa ni jambo jema na mm nikaangalia raman zangu kwa sasa kuhusu kumuoa bado hazijakaa poa though alikua anapata ekila ktu alichokuw anahitaj..
Bas nikampa go ahead akaniacall tukaongea akaanza kulia.. nikamuuliza mbona ghafla!?? Je umeridhia kuolewa!? Akajibu yah ameridhia.. bas nikamwabia m glad amekuwa honest hakutaka kunifichacoz ingeniuma sana..
Ikabid hata hayo maswali mengne nisimuulize kwasabab hayakuwa na maana kwa wakat huo na wala yasinge rudisha wakat nyuma.
Nampenda n she knows that.. but situation kama hiz znatokea..
All the best kipenz changu i hope he is perfect match for her n atakuwa salama huko atakapoenda.