MAKRESH MMAKA
Senior Member
- Apr 14, 2013
- 155
- 19
Kiukweli kuna msichana ananipa wakati mgumu kwasababu ananiumiza lakini nikisema nimuache moyo wangu unashindwa na huwa napata wakati mgumu pale nimuonapo ushauri wenu wadau naona nikiendelea nae atanitesa sana