Ananiumiza lakini nashindwa kumuacha

Ananiumiza lakini nashindwa kumuacha

MAKRESH MMAKA

Senior Member
Joined
Apr 14, 2013
Posts
155
Reaction score
19
Kiukweli kuna msichana ananipa wakati mgumu kwasababu ananiumiza lakini nikisema nimuache moyo wangu unashindwa na huwa napata wakati mgumu pale nimuonapo ushauri wenu wadau naona nikiendelea nae atanitesa sana
 
Hajakuumiza....akikuumiza wala hutaomba ushauri
 
Mwanaume wa kweli huwa ana plan A na B. Changanya na zako. Pia kuna msemo usemao "usiweke mayai yote kwenye kikapu kimoja"
 
Hiyo hutokea, ila cha ajabu ukimpata mwingine utaanza kumsahau japo litakuwa nawe moyoni
 
Kiukweli kuna msichana ananipa wakati mgumu kwasababu ananiumiza lakini nikisema nimuache moyo wangu unashindwa na huwa napata wakati mgumu pale nimuonapo ushauri wenu wadau naona nikiendelea nae atanitesa sana

Wewe mimi nakufaham vizur.... eti anakuumiza!!!!!?????? How???Kwa hyo huku jf ndo umeona mahal pa kuja kuleta pumba zko?? Utabadili wanawke km nguo km usipobadil tabia yko...ww c ulikua na mke wa ndoa mkashindwana????!!!!! Ptuuuuuuuuhhh.
 
They say "it is very painfull to wait 4 something that may never happen"
but also do not forget that western proverb which say "fall in love but remember to take your brain with you"
 
Wewe mimi nakufaham vizur.... eti anakuumiza!!!!!?????? How???Kwa hyo huku jf ndo umeona mahal pa kuja kuleta pumba zko?? Utabadili wanawke km nguo km usipobadil tabia yko...ww c ulikua na mke wa ndoa mkashindwana????!!!!! Ptuuuuuuuuhhh.



heeeeeeeeeee!!!! kaz kwel kwel haya njoooo ujiteteeee cjui ulikosa cha kupostii leo
 
Una moyo mlaini kama wakike,mwanaume hawi hvyo..na pia unasumbuliwa sana na haya maswali
>mimi ni mbaya labda nikimwacha sitampata mwingne
>huyu demu ni mzuri sana sitampata kama huyu
>nilipata shida kumpata labda nikimwacha itanichukua miaka kumpata mwingne
> n.k
Hayo maswali yote ni nonsense,wako wanawake wengi sana out there waiting mwanaume kama wewe,jifunze kuwa na confidence na outstanding,
Jiwekee utaratibu wa kutongoza msichana mpya wa aina yeyote kila wiki ili u-upgrade confidence yako
 
Una moyo mlaini kama wakike,mwanaume hawi hvyo..na pia unasumbuliwa sana na haya maswali
>mimi ni mbaya labda nikimwacha sitampata mwingne
>huyu demu ni mzuri sana sitampata kama huyu
>nilipata shida kumpata labda nikimwacha itanichukua miaka kumpata mwingne
> n.k
Hayo maswali yote ni nonsense,wako wanawake wengi sana out there waiting mwanaume kama wewe,jifunze kuwa na confidence na outstanding,
Jiwekee utaratibu wa kutongoza msichana mpya wa aina yeyote kila wiki ili u-upgrade confidence yako

Kupta msichana co issue... issue ni kubahave lyk a g/man!! Kuna wanaume wngne wana akil za kushikiwa.. yani mahsiano yke yana kuwa contrld na ndg na marafik...sasa huyo atadumu hta ktk ndoa yke!!!????
 
Mwanaume lazma uwe na msimamo.....na sio nyolonyolo fanya maamuz yanayoeleweke
 
bado maumivu hayajakuingia sawa sawa ... ukishika kunako mbona utakuja hapa nimemwacha tayar
 
Una moyo mlaini kama wakike,mwanaume hawi hvyo..na pia unasumbuliwa sana na haya maswali
>mimi ni mbaya labda nikimwacha sitampata mwingne
>huyu demu ni mzuri sana sitampata kama huyu
>nilipata shida kumpata labda nikimwacha itanichukua miaka kumpata mwingne
> n.k
Hayo maswali yote ni nonsense,wako wanawake wengi sana out there waiting mwanaume kama wewe,jifunze kuwa na confidence na outstanding,
Jiwekee utaratibu wa kutongoza msichana mpya wa aina yeyote kila wiki ili u-upgrade confidence yako

nyingine washikaji wataniona faala kuacha kisu kikali kama hichi
 
Kiukweli kuna msichana ananipa wakati mgumu kwasababu ananiumiza lakini nikisema nimuache moyo wangu unashindwa na huwa napata wakati mgumu pale nimuonapo ushauri wenu wadau naona nikiendelea nae atanitesa sana

mwenyewe utasepa tu hayo mambo ndo yalivo
 
Back
Top Bottom