BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,766
- 23,217
Ma-huge
wana JF, Habari.
Kuna dada mmoja ananitamani sana hapa mtaani kwetu yaani mpaka kero, mi sijaoa eti kila siku ananitania eti nimuoe na mimi sitaki maana nina mchumba wangu yupo chuo saivi. Nifanyeje ili nimkimbie? asinizoee kabisa?
Nawasilisha.
Huyu jamaa ni mshamba na mademu wajanja hawadate na watu wa matangazo kama hama hawa.Mwanaume hupaswi kusema 'mwanamke Fulani ananitaka mi simtaki'...kamahumtaki mkatae kimya kimya bila watu kujua umemkataa.....ukiwa na tabia ya kusema sema...utakuja kujikosesha 'bahati' za kila aina......hata yule unaemtaka anaweza kusikia unavyo ropoka ropoka akakuona mshaamba kabisa...
Hujamkazia wewe... Ungemkazia wala asingekuwa anakusumbua!
wana JF, Habari.
Kuna dada mmoja ananitamani sana hapa mtaani kwetu yaani mpaka kero, mi sijaoa eti kila siku ananitania eti nimuoe na mimi sitaki maana nina mchumba wangu yupo chuo saivi. Nifanyeje ili nimkimbie? asinizoee kabisa?
Nawasilisha.
na mimi nahisi nilishindwa do that kwako ha ha haa
Salama?
HahahaMwambie una ebola...
Acha hii tabia ya kufukua makaburi na vinyuzi visivyo na kichwa wala miguu 😂Hahaha
Nimepata addiction 😑😑 i can't stop ⛔😶Acha hii tabia ya kufukua makaburi na vinyuzi visivyo na kichwa wala miguu 😂
Hujaulizwa we kubwa jinga wa TemekeWewe Kuwa Wa Kiumeni. Mchape Nao Kwanza Kutimiza Wajibu wa Kianamume Kisha Sepa Na Mtose! Kweli Nimeamini Kwenye Miti Mingi Huwa Hakuna Wajenzi.
Kubwa Jinga ambaye namfurahisha sana Mama yako Mzazi kuliko hata Baba yako Mzazi.Hujaulizwa we kubwa jinga wa Temeke