Ananikata moto hajui tu

Hatuna tofauti chifu,Mapema Ningekupa kona.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa nimekosea ndugu yangu, nilijua nam quote Carlos The Jackal , alinishauri nimtext mke wa mtu nimwambie nataka kumlamba matako, almanusura nifukuzwe mtaa yaani, kumdhari ndugu yangu
πŸ₯‚
Naomba uifute comment yako basi

πŸ₯‚πŸ₯‚πŸ₯‚πŸ₯‚
 
Huyo hajakuelewa..... Unatemana nae kimya kimya..... Usimtafute tena na namba yake unafuta.....

Kuna watu wamekuja Duniani kuringa na kupoteza muda..... Na ukihangaika nao kichwa chako kitachemka....

Why uhangaike na mtu asiyejitambua au asiyejua anataka kitu gani.....?!

Mimi personally sipendi kuwasiliana na watu wasiojielewa wao ni akina na wanataka nini katika haya maisha..... Kwa kifupi watu wasiokuwa realistic na maisha yao....

Unakuta binti unatoka katika family background ya kawaida sana.....

But unaanza kujiona ni levels za akina Beyonce na Rihanna, yaani sababu rangi ya ngozi ni ya chungwa au nyeupe, au sababu una makalio makubwa, shepu nzuri, nywele nzuri, sura nzuri na kadhalika unajihisi wewe ni first class human..... Takataka kabisa....


Mtu akiringa temana nae.....akatafute anaotaka wawasiliane nae.....
Salam ni mara moja tu, akisoma akakukaushia tupa huko........achana nae...

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Jamaa umeongea kweli kabisa. Mi mtu akianza kuketa pigo kama haeleweki eleweki, yan kama anakupima imani mara leo yuko fresh af kesho analeta miyeyusho huwa napitaga hiviiii... anakuja kustuka aliachwa kitambo
 
Bora hata wewe amekublue tick kuna wengine tulisomesha kupewa namba tukapata mwisho wa siku linamba lenyewe halipatikani Mpka kesho...inakera sana
 
MTINDO MPYA WA MADADA.
Kwenu mabaharia wenzangu. Sasaiv wadada wamezusha katabia flani cha kijanja sana. Ukimuomba namba anakupatia vizuri kabisa. Mkianza kuchat anakupa ushirikiano wa hali ya juu sana.

Sasa wewe utapigwa na butwaa kwamba inakuwaje mtoto mzuri hivi halafu anaonekana mrahisi basi unampanga weekend njoo unitembelee anakujibu sawa nije jumamosi au jumapili? Siku nyingine mkiwa mnapigapiga story anakukumbushia tena kwahiyo nije jumapili au hata jumamosi?

Basi kwakua mmeshapiga sana story na yeye ameshakuahidi anakuja na kwenye mazungumzo amechangamka tena siku nyingine anakupigia yeye unasema yees! Mtoto ameshanielewa.

Kimbembe kinaanzia hiyo siku mlopanga kuonana. Anaanza ooh! Yani nipo tu nyumbani sina hela wala nini km unayo nitumie ili nianze kujiandaa kabisa ili nije mapema nikupikie kama ukuhitaji.

Sasa ukitafakari mtoto amekupa ushirikiano siku zote hizo mzee unasmua kujilipua liwalo na liwe unatuma mzigo tena wa kupanda boda kabisa ili asipate usumbufu. Basi baada ya kutuma tu anakublock kuanzia WatsApp, normal call na message ndo imeisha hivo.

Ila hakuna namna kutuma nauli haitofautiani sana na mchezo wa kubeti mkeka unaweza ukatiki au ukachanika.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…