Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,409
- 82,301
Umeona eeh?Bibie keshashusha engine kama 4 hivi....lolHao 'wanapasha kiporo'
Ndio mana hawajajali sana.
Bwana harusi ana furaha iliyopitiliza.
Lakini sio sababu ya kutokujitambua
Umeona eeh?Bibie keshashusha engine kama 4 hivi....lolHao 'wanapasha kiporo'
Ndio mana hawajajali sana.
Bwana harusi ana furaha iliyopitiliza.
Umeona eeh?Bibie keshashusha engine kama 4 hivi....lol
Lakini sio sababu ya kutokujitambua
Heaven on Earth huyo lakini usimwambie mtu
Ameharibu nini?Bi harusi kaharibu
hah hah Mkuu! copy n paste aka Internet inawadanganya wengi. Sasa ndio nini hivi na mchungaji amefungisha ndoa watu wako karibu nusu uchi!Ameweka ndala kifuani
aiseehAmeharibu nini?Mimi nilifikiri ni yule naibu spika wetu. Amependeza kwa kweli.
Ameweka ndala kifuani
Anatofauti gani na Nocole Scherzinger hapa bila cleavage
![]()
Ndala za Nicole ingalau zina suupu kiasi, yule mwingine imebaki ganda tu ndani hamna kitu, haikufaa avae vile kama nido zake ni saa sita wakati sio.
Ameweka ndala kifuani
Hahahahaaa hivi hao warembaji wana akili nzuri kweli?
Halafu bibi harusi mzuri tu endapo wangempatia angetokelezea......
Bwana harusi anatabasaaamu mwenyewe!
Umeshanisahau mara hii?Huyo bi harusi si wewe kweli??
Hiyo inaitwa kubariki ndoa. Maarufu sana kule nyumbi hii bombi hii...Dizaini hizi ni zile watu wameshaishi miaka lukuki halafu ndio yanafanyika haya