Kiwarhoapandenga
JF-Expert Member
- Aug 10, 2019
- 2,078
- 1,806
Weweeee pambana na haliyako hiyo kamati ya roho mbaya kuwajadili wali wa kichagga ulikaa wewe na kinanani acheni hizo banaWanawake wa kichaga wanashida mbili kumbwa,kupika na kitandani,inahitaji uvumilivu
basi tu wachaga wanaolewaga kwa ngekewa...yani mkiwa mnanyanduana katulia kama kitabu cha alfu lela ulela
Jamaa Mtanga bana kaoa Mchaga miezi kama 6 iliyopita.
Enzi zote za uchumba mke alikuwa anajibidiisha kuandaa chakula cha mumewe, lakini sasa dada wa kazi ndio kila kitu kuandaa mpaka kumpa taarifa mume kuwa chakula kipo tayari mezani.
Sasa alikuja kuniuliza hilo jambo lipo sawa...kwa tamaduni za kwao Tanga mke ndio anampa taarifa mume kuwa chakula kipo tayari...
Sasa leo SIKUKUKU YA EID mume kasusa kula alivyopewa taarifa na house girl, mke kamjibu kaoe mke wa namna hiyo wa kukuita kila wakati wa maakuli.
Jamaa kaja kutaka ushauri, mie nimemjibu ni kawaida tu, tamaduni zinapishana asilazimishe mambo ya kwao Tanga, achukulie poa tu asikuze mambo yasiyo na msingi...
Je nimepatia au nimemuingiza chaka?
mkuu hawa wapo kwenye kipindi cha who is who in this house, jamaa alitakiwa apige mkurwa wa nguvu kama sio vibao then huo ugomvi ungeisha salam bila mke kuondoka hapo ndoa ndio ingekaa sawa sasa.Mama zetu walipokuwa wanaolewa walikuwa wanajifunza tamaduni za alikoolewa na kujifunza.
Hata kwa kuigiza tu.
Hawa wanawake tunaoa miaka hii anataka mwanaume uige tamaduni na taratibu alizojifunza mitaani!!
Ujinga tu ndio umewajaa.
Kauli ndio ziro kabisa.
Ongeza mke wa pili uishi kwa Raha zako. Huyo unamuachia nyumba aendelee kuishi.
Kweendraaaa na mkufage kabisa watasaliwaga wengine msituchoshe bana
kuna wanaume wameolewa na wake zao na mbaya zaidi hawajui kama wameolewa..!!Sio akili zako umelogwa wewe
Pumbavu kabisa, etibu unapika na mwanamke anaangalia tv
Kuna vitu nataka kuandika hapa afu nachoka tuKuna baadhi ya mambo hua nikisikia nashangaaga sana! Mimi sijui sababu nimekua nikijitegemea kwa muda mrefu!! Nakumbuka nimeanza kuishi mwenyewe boarding school na kila kitu nikiwa na 13yrs hivi. Nimeanza kuishi na mwanamke nina 25yrs. Ukweli sijaonaga sababu ya kuandaliwa chakula au hata kufuliwa. Nikitoka kazini nikikuta chakula nakula nisipokuta sio kesi napika mwenyewe na wide yupo anaangalia tv sipendagi sumbua watu kbs. Lkn unakuta mtu anaweza acha mkewe eti hajakaribishwa chakula!? Kweli!? Kweli hua sielewagi.. wanaume hebu wapeni wake zenu uhuru vitu vidogo maliza mwenyewe! Mfano mke wangu hapendi dagaa na maharage mimi siku nipo home napika dagaa zangu vzr na maharage mafreeze siku ninahamu natoa napika ugali wangu safi!
Aafu wanajiona wanabadilika na dunia.kuna wanaume wameolewa na wake zao na mbaya zaidi hawajui kama wameolewa..!!
Siwezi msalimia mtu mzima nimesimama au mgeni ndani ambae ananizidi umri nimpe kitu nimesimama? Haiwezekani.yaan nishazoea siwezi acha.Wachaaa weehii tabia bado ipo au ulivyoingia town yenyew ikapanda basi ikarud nyumban
Hawezi tatizo watu wakioa wanaona kama wamenunua mtu!! Kama anakuheshim hawezi fanya vitu hivo!Kuna vitu nataka kuandika hapa afu nachoka tu
kuna siku utatembelewa na baba yako afu umwambie amwandalie baba atakujibu "**** wewe Leo jiko hulioni"
Ha ha Mengine nimefuta