Anakata mawasiliano ghafla kwa kisingizio tusichokane

Wazabanga kuku

JF-Expert Member
Dec 13, 2016
264
379
Habarini wakuu
Kuna Jambo Moja nimeona nishee nanyi wana Jamvi ,mimi nna mchepuko wangu tulianza mwaka jana baada ya muda tukaachana lakini wakati mahusiano yameanza akasema tusisex mapema coz tutachokana lakini kidume nikamlaghai na kuanza kumpiga Mkuyati frequently na akanogewa sasa kwa sababu za hapa na pale huyu binti akaachana na mm kisa tu mi nlikua naongea na mabinti wengi kazini kwetu
Lakini mwanzoni mwa mwaka huu binti akarudi kuniomba msamaha tukaendelea nlimpenda huyu binti. Japo kwa 50% coz katika maisha yangu siwezi kumwamini mwanamke kwa 100%
Tukaanza tena Kula tunda,lakini kuna tabia kaianzisha huyu demu ya kuleta mgogoro then tunakaa hadi week hatuwasiliani huwa najitahidi kumchek chek mara kwa mara ila kuna wakati anakua kama chizi msg hajibu na akijibu basi anatoa Majibu ya kunichefua
Nkamuuliza Tatizo ni nn mbona kuna wakati tunaelewana na kufurahi vizuri na wakati mwingine ghalfa unabadilika anadai eti wapenzi kuwasiliana mara kwa mara mnachokana
Jamani hii theory yake ina ukweli wowote !?? Kutokana na hii tabia yake nimeamua sasa kumpotezea jumla ,wiki iliyopita tulikua na mawasiliano mubashara ila ghafla juzi jmoc kabadilika ,jana asubuhi ananiomba nauli nkamwambia Sina ,akauchuna hadi Leo hii nnapoandika Uzi huu sijawasiliana na huyu demu na nimeamua nimteme jumla
Theory yake kwangu siiwezi nimeoana Bora nimtue jumla ili theory yake ya kwamba kuwasiliana mara kwa mara akawafanyie wajinga wenzake nahic hajui maana ya mapenzi na umuhimu wa mawasiliano katika mapenzi
Ni haya tu wakuu
Buenas Dias
 
Yaani we jamaa km mm tu nlikuwa na kitoto hcho daily ugomvi nsipokitafuta chenyewe hakijuagi kuntafuta kikikuta ms col hakijali kwamba nlikuwa nasemaje anicall back nlichokisoma tu hao huwa kuna watu huwa wanawakubali mioyoni mwao so akina cc inakuwa tpo tu kukamilisha ratiba kpnd ambacho mna ugomvi ndio anajiachia na kipenzi cha nafsi yke anaanzisha ugomvi kusudi tu yaani haipiti wiki kimewaka km una future nae utapata nae tabu sana nakwambia ila km upo kwa ajili ya kusuuza rungu usimuache akiuchuna uchune pia cku akifurahi tu hpohpo unamvuta kimoja or viwili vya fasta then muendelee kununiana!
 
Nikianza rasmi kuchepuka Hao ndio nnaowatafuta tuwasiliane kwa mambo ya msing tu sio kila saa baby baby zinachosha aisee
 
Back
Top Bottom