anahitajika mwalimu wa daycare

anahitajika mwalimu wa daycare

SMS

Member
Joined
Feb 18, 2013
Posts
61
Reaction score
10
anahitajika mwalimu wa kike mwenye qualifications za kufundisha watoto wenye umri chini ya miaka 3. center ipo mbezi beach, atapewa chumba cha kulala na chakula bure, experience si muhimu sana mradi awe na vigezo na moyo wa kupenda watoto.

mshahara ni negotiable. mwenye interest atume CV kwenye e mail ya l.angels@rocketmail.com
 
Kwa nibi mnampa chumba cha kulala na chakula?

mkuu, je ni ajabu mwalimu kuishi eneo la shule? kuishi eneo la shule kunamrahisishia mwalimu kufanya kazi kwa urahisi zaidi. Lakini pia si kigezo, kama hatahitaji nyumba hatalazimishwa.
 
Kaka nimekutumia email na cv.naomba unipe jibu ili kesho muhusika aingia hapa mjini.

Una bidii ya kumtafutia kazi,ila kumbuka ametangaza kazi na waombaji ni wengi watakao/waliotuma cv so akipitia utajua,pia mwajili halazimishi. Samahani lakini
 
Back
Top Bottom