Anahitajika Muwekezaji

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
26,390
Reaction score
39,916
Nyumba ipo Mwenge jirani na Afrika Sana. Anahitajika muwekezaji atakayeingia ubia au kutoa mkopo wenye riba kwenye kuendeleza eneo hilo kibiashara.

Nyumba inafaa kuboreshwa ktk maeneo/malengo yafuatayo
1. Hosteli (kuna uhitaji mkubwa wa hostel)
2. Ukumbi
3. Maduka
4. Ofisi

Muwekezaji aliyemakini awasiliane inbox tuweze kuyajenga. Kama una lengo la kununua unakaribishwa kwa mazungumzo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…