Anahitajika mtaalam wa IT

Irenee

Member
Joined
Apr 13, 2017
Posts
12
Reaction score
48
Wakuu nahitaji mtaalam wa IT , kuna kazi hapa ya online business
Sifa zake....
1.awe na laptop yake
2.awe mtanzania wa mkoa wowote
3.asiwe na kazi nyingne na
4.umri kuanzia miaka 20 hadi 28
Mshahara..,...50% ya mapato ..
Njoo PM kama upo tayari....
Au email ...irenebby8@gmail.com
 
Ujue IT ni pana sana . ... hebu fafanua vizuri unaitaji mtu alie fit nafasi gani.
1. Programming
2. Database
3.network
4. Web design
5 . Computer maintainance
6 . Data science
7. Security
8. Artificial intelligence
9. Multimedia & Graphics
10. System analist

Nk.

Fafanua, wewe kazi zako inahitaji nn hasa
 

Knowledge Ghani ya IT maana mm IT ulimwengu mzima naweza Kuja na Laptop kumbe kazi yenyewe Office automation ; Kazi ya Online - mhh elezea tuje na Modem Kabisa isije ikawa kazi yakudownload Movies na Audios
 
Umeanzisha thread then unakaa masaa 4 hujapitia thread yako.
 
kama mshahara ni 70% ya mapato sema nije hiyo kazi ya online unayotaka kumpa mtu wa IT huenda anaifanya toka kitambo
 
Mimi ninasifa hizo ila maelezo yako hayajitoshelezi fafanua kidogo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…