Habari wadau, anahitajika msichana aliyesomea mambo ya Secretarial kwa ajili ya kusimamia Stationery na Internet Cafe
Sifa za Mwombaji:
1.Awe ni Mkazi wa Arusha Mjini
2. Awe amesomea na Kuhitimu course ya Secretarial
kwa anayehitaji ani pm namba ya simu.....atapigiwa!! masuala ya mshahara mtaelewana baada ya mazungumzo...!!
Sifa za Mwombaji:
1.Awe ni Mkazi wa Arusha Mjini
2. Awe amesomea na Kuhitimu course ya Secretarial
kwa anayehitaji ani pm namba ya simu.....atapigiwa!! masuala ya mshahara mtaelewana baada ya mazungumzo...!!