single hiyo vipi anakaa kwa Boss au? kama hakai kwa boss wewe unaangalia ufanyaji wakazi au maisha yake binafsi? mie natafuta kazi hiyo tatizo hivyo vigezo naomba kueleweshwa
itakuwa kuna kazi zingine hapo kama upishi,kumfulia nguo boss n.kNina dada angu kasomea usecretary na anatafuta hiyo kaziAnahitajika mtu mwenye sifa zifuatazo kwa ajili ya kazi ya stationary
Sifa:
Amehitimu kidato cha Nne
Anaweza program za Ms word, Excel na Publisher
Umri usizidi miaka 25
Awe single
Kwa mawasiliano piga 0784259521