Anahitajika Bwana Shamba

Joined
Jun 14, 2010
Posts
63
Reaction score
43
Ninahitaji mtu mwenye sifa zifuatazo kwa ajili ya kusimamia shughuli za Kilimo katika Shamba binafsi Mkoani Lindi:
  • Awe na ufahamu na maarifa juu ya kilimo cha mazao ya biashara ya muda mfupi na ya muda mrefu kama vile Ufuta, Korosho na Alizeti
  • Awe na uzoefu katika kusimamia kazi za kilimo cha mazao ya biashara ya muda mfupi na ya muda mrefu kama vile Ufuta, Korosho na Alizeti
  • Ajue kuandaa mpango na bajeti ya kazi za shamba, kugawa kazi na kusimamia na kuhakikisha mpango kazi unatekelezwa kikamilifu na kwa wakati ndani ya bajeti iliyoidhinishwa
  • Awe na historia ya kusimamia kikamilifu na kwa mafanikio vijana wa shamba au watumishi wasiopungua 10 chini yake
  • Asiwe na historia ya wizi, udokozi au udanganyifu katika kazi na jamii anayotoka.
  • Awe na umri wa miaka kati ya 30-35
Mwenye kukidhi vigezo awasiliane nami kupitia:

E-mail: marukuvanillagmail.com
 
Email haiko sawa rekebisha Tafadhari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…