Habari ya jumapili wana jukwaa...anahitajika binti kwa ajili ya kusimamia stationery iliyopo dar es salaam maeneo ya riverside...anayeweza kazi hizo ani PM
Mkuu nitakutumia bint mi ninachuo cha computer na secretarial.
Hivi ninyi, hamuwezi kusoma maelezo au tatizo nini.... Maana kama lugha iliyotumika ni nyepesi saanaa... Au hamuelewi maana ya PM!??Mkuu ni mwanaume na naweza hiyo kazi kwa ufasaha kabisa pia matumizi yote ya vifaa vya stationery mfano kufanya binding, lamination, nk pia nina uzoefu na software zifuatazo word, excel, powerpoint, publisher nk. Ninaomba nafasi hiyo kama nitaweza kuipata nitashukuru sana. mawasiliano yangu 0757191544 au 0655191544
Siyo wote wanaojuwa kutuma PMHivi ninyi, hamuwezi kusoma maelezo au tatizo nini.... Maana kama lugha iliyotumika ni nyepesi saanaa... Au hamuelewi maana ya PM!??
jieleze nyuma ya Pazia... wacha kujitafutia usumbufu kwa kuandika namba hapa hadharaniMkuu ni mwanaume na naweza hiyo kazi kwa ufasaha kabisa pia matumizi yote ya vifaa vya stationery mfano kufanya binding, lamination, nk pia nina uzoefu na software zifuatazo word, excel, powerpoint, publisher nk. Ninaomba nafasi hiyo kama nitaweza kuipata nitashukuru sana. mawasiliano yangu 0757191544 au 0655191544
Wanasema ignorance of sheriah is not an excuseSiyo wote wanaojuwa kutuma PM
WEKA NAMBA YA SIMU BASIHabari ya Jumapili wana jukwaa...
Anahitajika binti kwa ajili ya kusimamia stationery iliyopo Dar es salaam, maeneo ya Riverside. Anayeweza kazi hizo ani PM