habari wanajavini kuna kampuni ya ukandarasi wa umeme,majengo yenye ofisi zake Dar-es-salaam lakini inafanya kazi kila mkoa inatemeana na kazi ilipo patikana inahitaji Accountant mwenye vigezo vifuatavyo
Awe na Degree au Diploma ya Accountant
Awe anajua kutumia accounting Package kama Quick Book au Tally
mshahara nimakubaliano na inategemeana na utendaji kazi wako na sio cheti chako
Note:mwenye vigezo hivyo atume cvs yake kwa zeprezidar@gmail.com huyo mtu anatakiwa haraka kujaza nafasi hiyo. Accountant aliye kuwepo ameondoka kwahiyo tumepewa hilo jukumu la kumtafuta mtu wa kuzima nafasi
Samahani kwa tangazo kama litakuwa na mapungufu lakini mwenye vigezo atume maombi yake hapo.
Please kama hujui kutumia accounting package/software usiombe
Awe na Degree au Diploma ya Accountant
Awe anajua kutumia accounting Package kama Quick Book au Tally
mshahara nimakubaliano na inategemeana na utendaji kazi wako na sio cheti chako
Note:mwenye vigezo hivyo atume cvs yake kwa zeprezidar@gmail.com huyo mtu anatakiwa haraka kujaza nafasi hiyo. Accountant aliye kuwepo ameondoka kwahiyo tumepewa hilo jukumu la kumtafuta mtu wa kuzima nafasi
Samahani kwa tangazo kama litakuwa na mapungufu lakini mwenye vigezo atume maombi yake hapo.
Please kama hujui kutumia accounting package/software usiombe