abdul mwashimetta
New Member
- Aug 25, 2013
- 4
- 0
Je wanalipwa kiasi gani na grade gani ya mshahara??
Dah hii siamini aisee.700k basic salary
Nini sababu ya kutaka kujua au umeshagongewa?Je wanalipwa kiasi gani na grade gani ya mshahara??
Dah hii siamini aisee.
Na fundi atalipwa ngapi
Sema Ndugu .....ni kweli mshahara wa DEREVA Tanesco ni laki 7 basic?? Na baada ya makato anapata ngapi?? Na Je unafahamu mshahara wa madereva wa BANDARI?? NISAIDIE KAMA UNAJUA700k basic salary
Mashahara aujawai kutosha kuna watu basic ni 480,000/= ila malupulupu mpaka kufika mwisho wa mwezi ni zaidi ya 2,000,000/=Sema Ndugu .....ni kweli mshahara wa DEREVA Tanesco ni laki 7 basic?? Na baada ya makato anapata ngapi?? Na Je unafahamu mshahara wa madereva wa BANDARI?? NISAIDIE KAMA UNAJUA