Zaburi 23
JF-Expert Member
- Feb 22, 2017
- 570
- 663
Iko hivi kuna jamaa alikua mjanja mjanja sanaaa alikua anafanya mtukii na anajificha aliwahi kufanya tukio na mtaa mzima kuna kamera akawa ana zikwepa. Kuna kipande kingine alipigwa risasi akatupwa baharini wavuvi wakamuokota wakawa wanamtibu ad akapona . In short jamaa alikua mjanja mjanjaaa. Kama skosei ilikua na vipande kama vitatu ivii