Anadai tukapime ngoma




Cc Kingsmann
 
Acha michepuko mkuu Mwambie Huyo mke wa mtu atulie na mume wake
 
Usikute kuna ugomvi kwa mme wake nani kaleta ukimwi nyumbani!
 
😂😂😂time will tell unachokitafuta kwenye kupima utakijua over
 
Haka kachai mpishi kajichanganya akaweka chumvi badala ya sukari
 
Kupima kusikie tu kwa jirani aseee leo nimetoka kupima iyo presha nilokua nayo duuuh hatarii nashukuru mungu majibu yametoka fresh..,,nimeambiwa baada ya miezi mi3 nilud tena silud ng''oooooo
 
Asijekuwa bwana wake ameathirika kwa hiyo analaumiwa yeye na wewe ndio mchepuko anataka kujua kama wewe ndio umemletea hiyo ngoma akampasia na mumewe ama la
 
Asijekuwa bwana wake ameathirika kwa hiyo analaumiwa yeye na wewe ndio mchepuko anataka kujua kama wewe ndio umemletea hiyo ngoma akampasia na mumewe ama la
Hamna mkuu anataka kuwa na mtoto mwingine ila hataki kuzaa na mme wake
 
Hata mimi najikuta nawala wake za watu sijui kwa nini
 
Mtu mwenye mwandiko huu siwezi kuongea nae zaidi ya nusu saa
Block itachukua mkondo wake
Unaongea na wenye mwandiko ganii.

Maana sio kila mtu amefanikiwa soma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…