Ana nia gani na mimi?

Ana nia gani na mimi?

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,579
Reaction score
161,430
Eti nina mchummba wangu, ila
wazazi wangu wanasema
hawamtaki kabisa, mchumba
wangu anasema niwasikilize wazazi
kwani ananipenda sana
kulikonikubali kuishi naye ili hali
wazazi wangu hawamtaki, je huyu
mchumba ananipenda ama
amenichoka?
 
Anakupenda sana! Na anaangalia mbele zaidi,,
ingawa wewe ndio muhusika na co wazazi amewaheshmu sana wazaz wako mkilazmisha kuoana imekula kwenu!
 
Yerewiiiiii dada white taratibu tafadhali, mwenzio moyo wangu umezama kwenye tope lake la mapenzi ujue. Mambo ya kunirusha roho mapema mapema ntakufa kwa presha mwenzio ujue

Haha haaaaaa..!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
anakupenda sana!
ongea na wazazi kwa
njia yoyote wakubali!!!

 
Eti nina mchummba wangu, ila
wazazi wangu wanasema
hawamtaki kabisa, mchumba
wangu anasema niwasikilize wazazi
kwani ananipenda sana
kulikonikubali kuishi naye ili hali
wazazi wangu hawamtaki, je huyu
mchumba ananipenda ama
amenichoka?

Anakupenda sana ndio maana hataki ukosane na wazazi wako kwa ajili yake pia anataka amani.
 
Anakupenda sana ila kwa mwanamke akishakataliwa na wazazi kwakweli anakuwa hana ujasiri tena ni mabindudi tu ndo wanaweza hiyo ya kupambana na wakwe na kwa kweli inahitaj ujasiri sana.
 
Anakupenda sana ila kwa mwanamke akishakataliwa na wazazi kwakweli anakuwa hana ujasiri tena ni mabindudi tu ndo wanaweza hiyo ya kupambana na wakwe na kwa kweli inahitaj ujasiri sana.
kweli kabisa maisha ni haya haya..kwanini upate laana na mamikosi kwa ajili ya mwanaume? kuishi na mastress na bmaugomvi kila siku wengine hatujazoea ...maisha ni amani kama huna amani na watu wa nyumbani kwao ua finished!
 
Yerewiiiiii dada white taratibu tafadhali, mwenzio moyo wangu umezama kwenye tope lake la mapenzi ujue. Mambo ya kunirusha roho mapema mapema ntakufa kwa presha mwenzio ujue
Sasa kwa nini hakai upande wako ili alinde penzi lenu.Kwa maana haiwezekani kila mtu akichukizwa na penzi lenu basi suruhisho ni kuachana.Hiyo changamoto ndo ilikuwa kipimo kikubwa cha kuonesha anakupenda na sio vinginevyo.
 
Last edited by a moderator:
Sasa kwa nini hakai upande wako ili alinde penzi lenu.Kwa maana haiwezekani kila mtu akichukizwa na penzi lenu basi suruhisho ni kuachana.Hiyo changamoto ndo ilikuwa kipimo kikubwa cha kuonesha anakupenda na sio vinginevyo.

Point dada white
 
hatma ya maisha yako haipo kwa mtu yeyote yule, ila Mungu ndo anajua anayekufaa maishani mwako, ndoa si nguo ambayo ikichanika utaenda dukani kununua nyingine. My advice ''Ni bora ukabugi mambo mengine yoote ila sio kuoa/kuolewa''
 
Kashukuru kukataliwa kwa kweli,hakupendi hata kidogo

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Huyo jamaa ni moja kati ya wanaume wenye nia nzuri kwa wapenzi wao,nakuomba mkubalie
 
Anakupenda sana! Na anaangalia mbele zaidi,,
ingawa wewe ndio muhusika na co wazazi amewaheshmu sana wazaz wako mkilazmisha kuoana imekula kwenu!
Marga sitaweza kuishi bila yeye, ujue mi kujiua siogopi mwenzako
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom