Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,430
Eti nina mchummba wangu, ila
wazazi wangu wanasema
hawamtaki kabisa, mchumba
wangu anasema niwasikilize wazazi
kwani ananipenda sana
kulikonikubali kuishi naye ili hali
wazazi wangu hawamtaki, je huyu
mchumba ananipenda ama
amenichoka?
wazazi wangu wanasema
hawamtaki kabisa, mchumba
wangu anasema niwasikilize wazazi
kwani ananipenda sana
kulikonikubali kuishi naye ili hali
wazazi wangu hawamtaki, je huyu
mchumba ananipenda ama
amenichoka?