[QUOTE="Pennstatepro, post: 35251636, member: 575663"
Nimesoma kwa makini sana uzi wako ushauri wangu kwako; kwa kuwa ashakutamkia kuwa ana mchumba na soon anafunga nae ndoa basi muone kama mke wa mtu vile heshimu ndoa ya jamaa ,utendee haki pia moyo wako, chakujifariji hakuna kipya kwa huyo mwanamke so funga hesabu kwa faida sio hasara
Inauma sana kuwa sperm donor mwsho wa siku mtoto akizaliwa atakuwa c wako utaumia sana cku moja usoni ukiamua kumtia mimba huyo mwanamke.
My take: move on na maisha yako mapya kabsa bila touch na huyo mwanamke.
Asante
[/QUOTE]
Nimekulewa Sana . Shukran