Uchaguzi 2020 Amsterdam aomba Jumuiya ya Madola kuingilia Uchaguzi Mkuu wa Tanzania

Lisu hasara kubwa sio kwake maana yeye hakua nachakupoteza kibaya ni namna alivyoshirikiana na mpuuzi wake Amsterdam kuwaharibia wenzake. Yaani kwa kifupi wabunge wa chadema wameponzwa na Lisu
 
CCM brainwashed. Unaweza kuwa hata milo miwili Kwa siku huna. Tunawajua sana na mko wengi. Njie nia yenu sasa ni kubadirisha narrative ati kuwa Lisu ni mtumwa wa wazungu kumbe nyie ndiyo mlipiga risasi 16 akaenda kutibiwa na wazungu, maana hapa angekufa. Hakuna hospitali ya maana.

dawa za kuwapoza ukimwi mnapewa hadi hiyo miradi wanawapa pesa hao hao wenyewe. CCM ndiyo imetufikisha hapa. Dunia nzima inashangaa
 
there is only one narrative here, you violently stole the votes and that is an act of treason by CCM members
 

JPM angeweza kumsamehe Lissu na may be hana shida nae kabisa


Ila wenye nchi, wananchi duni walio wengi, wafanya biashara wakubwa, matajiri, usalama wa taifa hawa walikuwa tayari kumuangusha Lissu

1.issue ya corona
2.kusimamiwa na mzungu/wazungu kwenye nchi ya mama yako mzazi ambae ni mweusi
3.kuhubiri visasi...unasema alinipiga risasi...ili ukipata urais na wewe ulipize? (Childish)
4.kukosoa mabadiliko yanayoonekana

Kwa mtu wa fursa, amani, utagundua haya mambo hakuna mfanyabiashara na wazee wa nchi ambao walikuwa tayari wampe Lissu nchi...I bet kama baba ake Lissu yuko hai nadhan hajampigia mwanae kura
 
Kateni misaada na mikopo tuone Jiwe litafika wapi.
Usawa huu unadhani kuna taifa linaogopa vikwazo?. Zipo Russia, China, Iran Korea, India na nchi nyingine nyingi tutafanya nazo biashara. Waliweka vikwazo kwa Burundi havikuwahi kusaidia maana jirani zake tunafanya biashara na Burundi.
 
Mbona una na inferiority complex hivyo kama bwana yule? Kwani wewe mzungu akiwa Lawyer wangu wewe inakuuma? Wewe umewahi kujitambisha sana kuwa ati umepublish paper nyingi sana, sasa pamoja na yote hayo unajihisi very inferior kwa wazungu!

Tungekuwa na watu kama 100 aina ya tundu hapa tungekuwa mbali sana
 
At least Nigeria has intelligent population which can feed itself and has sattelite oil and an export base, but you are beggars. the biggest export is HIVand
Are you not one of them? How long have you been living with HIV?

What are the status of your parents?

Can you go and live in Nigeria?

Change your mindset, you are sick and disgusting
 
Hii ndoto nayo haitatimia kama ile ya tarehe 28 October
 

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Inaonyesha mpaka wafuasi wake ni waongo

1.sijawahi kusema unacho claim, weka uthibitisho
2.lawyer wa kizungu kwa mtu anayetakiwa kuingia ikulu? Ikulu ya wananchi that had bad image kwa jamii
3.kashindwa
4.kashindwa


Ongea yoote ila kashindwa,
 
Usawa huu unadhani kuna taifa linaogopa vikwazo?. Zipo Russia, China, Iran Korea, India na nchi nyingine nyingi tutafanya nazo biashara. Waliweka vikwazo kwa Burundi havikuwahi kusaidia maana jirani zake tunafanya biashara na Burundi.
Russia hana pesa. China atakuvua suruali North Korea kuna njaa ya kufa mtu. Iran- my foot! Hivi wewe unajua geopolitics za sasa hivi, au ndiyo walewale? Hujui kitu. Kwenye internen siyo kuangalia porn tu unaweza kupata elimu kubwa.
 
Personal secretary wa Nyerere alikuwa mzungu hadi anakufa kafia Tanzania. President wa Zambia alikuwa mzungu.

you once upon a time said you are a masters what did you read and research ?
 
Kumbe hawezi kitu bila ya kuwapigia magoti hao wazungu wenzie,pathetic
 
Personal secretary wa Nyerere alikuwa mzungu hadi anakufa kafia Tanzania. President wa Zambia alikuwa mzungu.

you once upon a time said you are a masters what did you read and research ?

Sio amsterdam wewe mburula the guy who has bad reputation dunia nzima


Nyerere hakwenda nje walikuwemo humu eboo!!


Haya Lissu rais
 
Reactions: Ole

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…