RuwaIkunda
Senior Member
- Nov 2, 2017
- 156
- 278
Je, kuna yeyote humu ndani anajua mbadala wa kifurushi cha usiku cha internet kama kile cha Airtel cha Amsha Popo?
Maana leo nimejaribu kuunga lakin sikioni nimepiga simu HUDUMA KWA WATEJA wamesema wamekitoa, je mitandao mingine wanakifurushi cha USIKU cha internet cha GB 10 kama cha Airtel?
Kama kipo naomba kujua ni mtandao gani na gharama yake ukijiunga ni kiasi gani?
Maana leo nimejaribu kuunga lakin sikioni nimepiga simu HUDUMA KWA WATEJA wamesema wamekitoa, je mitandao mingine wanakifurushi cha USIKU cha internet cha GB 10 kama cha Airtel?
Kama kipo naomba kujua ni mtandao gani na gharama yake ukijiunga ni kiasi gani?
