Kichankuli JF-Expert Member Dec 18, 2008 887 189 Oct 8, 2010 #1 Amri 10 za kuikomboa tanzania 1. Usikumbatie waovu kama Kikwete 2. Usiwe mwizi kama Lowasa 3. Usiwe mwongo kama Makamba 4. Usiwe mnafiki kama Rostam 5. Usidharau pesa kama Chenge 6. Usikose msimamo kama Mrema 7.Usiingilie kazi zisizokuhusu kama Salma 8. Msirumbane ovyo kama CCM 9. Usiwe na kiburi kama Mramba Amri kuu 10. Usiipigie kura CCM Habari ndo hiyo
Amri 10 za kuikomboa tanzania 1. Usikumbatie waovu kama Kikwete 2. Usiwe mwizi kama Lowasa 3. Usiwe mwongo kama Makamba 4. Usiwe mnafiki kama Rostam 5. Usidharau pesa kama Chenge 6. Usikose msimamo kama Mrema 7.Usiingilie kazi zisizokuhusu kama Salma 8. Msirumbane ovyo kama CCM 9. Usiwe na kiburi kama Mramba Amri kuu 10. Usiipigie kura CCM Habari ndo hiyo
PakaJimmy JF-Expert Member Apr 29, 2009 16,203 8,725 Oct 8, 2010 #3 Kichankuli said: Amri 10 za kuikomboa tanzania 1. Usikumbatie waovu kama Kikwete 2. Usiwe mwizi kama Lowasa 3. Usiwe mwongo kama Makamba 4. Usiwe mnafiki kama Rostam 5. Usidharau pesa kama Chenge 6. Usikose msimamo kama Mrema 7.Usiingilie kazi zisizokuhusu kama Salma/SHIMBO! 8. Msirumbane ovyo kama CCM 9. Usiwe na kiburi kama Mramba Amri kuu 10. Usiipigie kura CCM Habari ndo hiyo Click to expand... Hapo kwenye RED nimemwongezea Jenerali A.Shimbo!
Kichankuli said: Amri 10 za kuikomboa tanzania 1. Usikumbatie waovu kama Kikwete 2. Usiwe mwizi kama Lowasa 3. Usiwe mwongo kama Makamba 4. Usiwe mnafiki kama Rostam 5. Usidharau pesa kama Chenge 6. Usikose msimamo kama Mrema 7.Usiingilie kazi zisizokuhusu kama Salma/SHIMBO! 8. Msirumbane ovyo kama CCM 9. Usiwe na kiburi kama Mramba Amri kuu 10. Usiipigie kura CCM Habari ndo hiyo Click to expand... Hapo kwenye RED nimemwongezea Jenerali A.Shimbo!