Amri kumi za CCM kwa WALIMU

Amri kumi za CCM kwa WALIMU

tozi

Member
Joined
Jun 26, 2011
Posts
11
Reaction score
1
1. mara zote mfanye mwalimu mwoga kwa serikali na chama. 2. Mlaghai kwa WITO na si kipato. 3. Mfundishe kuwa mpole asidai haki. 4.Mfanye asiajiliwesekta nyingine ili umtumie. 5.Mtumie kwenye chaguzi na sensa ajione bora 7.Msifie kila siku avimbe kichwa 8.Weka viongoziwa chama CWT ili asifurukute 9. mtumie kama ubao wa matangazokwa tshirt za chama. 10Mara zote wagawe na kuwatawala. amen
 
Mi ccm naichukia kwa moyo wangu wote,wametunyanyasa vya kutosha,sasa inatosha kwa kweli.MUNGU ailani CCM.
 
daah hv kumbe mpaka leo ualimu ni wito?!
 
Jamaa ni chipukizi lakini ameanza na thread za uchochezi!
 
Mi siamini kama ualim ni wito maana maprofesa wote walionifundisha sikwasikia wakisema kuwa huu ni wito,na nashukuru wakat nasoma nao waligoma KUFUNDISHA KWA SIKU 2 AU 3,kama ni wito nao wasingegoma
 
User ya mtoa mada ni kielelezo kua ni MTOTO.......nahisi atakua bado anasoma kama si waka wa kwanza basi wa pili,tena inawezekana kwenye hivi vyuo vya kata
Jamaa ni chipukizi lakini ameanza na thread za uchochezi!
 
1. mara zote mfanye mwalimu mwoga kwa serikali na chama. 2. Mlaghai kwa WITO na si kipato. 3. Mfundishe kuwa mpole asidai haki. 4.Mfanye asiajiliwesekta nyingine ili umtumie. 5.Mtumie kwenye chaguzi na sensa ajione bora 7.Msifie kila siku avimbe kichwa 8.Weka viongoziwa chama CWT ili asifurukute 9. mtumie kama ubao wa matangazokwa tshirt za chama. 10Mara zote wagawe na kuwatawala. amen
Wewe ni mwalimu......
 
Back
Top Bottom