Hizi ndizo zinafaa kuwa sheria za dunia nzima! Ee' Mungu tuepushe na vipofu wasiokuona...! Wafumbue macho wajue hakuna mwanadam wa kukusaidia zaidi ya wewe kumsaidia.
Hizi ndizo zinafaa kuwa sheria za dunia nzima! Ee' Mungu tuepushe na vipofu wasiokuona...! Wafumbue macho wajue hakuna mwanadam wa kukusaidia zaidi ya wewe kumsaidia.
Ni amri za Mungu c za kanisa haziwahusu tuu watu washetani ila kila aliye wa Mungu zina mhusu....! Akiri yako kiduchu imeisha kusukuma kwa ukristo na uislam alipewa Musa kama nyie ni upande wa fillauni shauri yenu!