Mr Morogoro
JF-Expert Member
- Apr 23, 2019
- 1,246
- 1,727
Wapewe tu kwa kweli...huwa naumia sana serikali kukusanya ushuhuru kwa wamama wauza mboga na faida za mia mia huku ikiwaacha wadangaji hawa wanaoingiza mamilioni kila sikuMwakani baada ya uchaguzi wanapewa tin namba,so relax..ni ajira mbadala!si unajua tena!!!
Tiba mbadala,elimu mbadala,kama hivyo yaani