Ampiga Mchumba wake hadi kumuua

Ampiga Mchumba wake hadi kumuua

Bahalulu

Senior Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
106
Reaction score
23
Jamaa mmoja wa wilaya ya Karat anayefahamika kwa jina la BabuVery amempiga mchumba wake ambaye enzi za uhai wake alikuwa anaitwa Mwanisi, kisa cha kumuua inasemekana ni kwamba jamaa alitoka club na baada ya kufika ghetto hapakuwa na maelewano na mchumba wake huyo na ndipo wakaanza kutukanana hadi kufikia hatua ya jamaa kuondoka lakini mchumba wake huyoalimfuata na ndipo jamaa akaamua kumpiga ngumi naalipoanguka akamaliza shughuli kwa mateke ya kutosha.. Hadi sasa BabuVery kashikiliwa na polisi. Hili ni tukio la 4 la mauaji ya peer to peer kwa eneo hilo.

Wana Jamii Forum tuwe makini sana, ugomvi sio mzuri ila njia yamazungumzo ndiyo kila kitu.
 
habari mujarab ila haina kichwa wala miguu

imetokea Tz au nje ya chi?
 
habari mujarab ila haina kichwa wala miguu

imetokea Tz au nje ya chi?

tatizo lako jiografia ulipata sifuri.
au umekurupuka bila kusoma taarifa kwa makini.KARATU hujui iko wapi Tanganyika hii!! je ukiulizwa kamachumu iko wapi siunaweza taja nchi nyingine kabisa.
kama hujui KARATU iko wapi basi hata kijiji cha MSOGA utakua huji kilipo na hapo ndipo utakapoonyesha upungufu wako wa uelewa.
 
....duh.!
inasikitisha sana.mitungi pia itakua inachangia,
hapo Karatu matukio ya kutoana roho naona imekua too much sasa,
last time nakumbuka jamaa aligombana na mkewe akamuu then akaua na wanae watatu.
R.I.P mchumba wa babu very.
 
tatizo lako jiografia ulipata sifuri.
au umekurupuka bila kusoma taarifa kwa makini.KARATU hujui iko wapi Tanganyika hii!! je ukiulizwa kamachumu iko wapi siunaweza taja nchi nyingine kabisa.
kama hujui KARATU iko wapi basi hata kijiji cha MSOGA utakua huji kilipo na hapo ndipo utakapoonyesha upungufu wako wa uelewa.

....hapo lazima apajue kwani ndipo alipozaliwa mtoto asiye na kichwa ndipo madaktari wakamuwekea dafu, na mtoto huyo alikuja kuwa rais wa nchi....
 
....hapo lazima apajue kwani ndipo alipozaliwa mtoto asiye na kichwa ndipo madaktari wakamuwekea dafu, na mtoto huyo alikuja kuwa rais wa nchi....

ahahaaa......hili lijamaa linaonekana jeupe mno,unaweza kuta pia haelewi hata unaemzungumzia ni nani.
ndio maana kwenye reseach yangu ndogo niliyoifanya nimekuja gundua kua watanzania wenye kujitambua kwenye watu mia sabini ni kanyaga twenda.
ipo kazi mpaka tufike kwenye mageuzi ya kweli.kina Nepi,Chemba,na fast jet wana mitaji ya majuha...huyo ni mmojawapo.
 
Sijaelewa vizuri. Ila kama ni mwanamke kauliwa vinakera kweli viwanawake vya leo . Mimi nilipeleka changu shule kameitimu kakaniletea mdomo nikakapiga red card huko huko na kwetu kanajulikana .
Laiti ningekuwa nacho karibu kukaua isingechukua dk 5 nafuu bahati mbaya kama polisi wapo wangenipata lakini ningesepa nami nacho ila .
Kaombe Mungu nimalize jeshi kawe hai nami hai .
 
Back
Top Bottom