Huyu dogo alikuwa moja ya vichwa pale EA radio na baadae Ruge na Habash wakamvuta kipindi Choice fm inaanza ambako hakukaa sana ndio imekuwa kimya hata mimi sijamsikia tena.
Labda mtoto wa mjini
Muuza Sura anaweza kujua pengine wanakutana kwenye bata.