Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,701
- 6,936
Beatrice Acen kutoka wilayani Apac nchini Uganda, Moses Okot (46) anauguza jeraha baada ya mkewe kumkata uume kwa madai ya kukosa unyumba.
Ingekuwa ndio mimi nimekatwa 'uume', lazima ningekata kiungo chake kilichotokeza kama 'uume' kwa muda ambao nitachagua mwenyewe.
Sasa unakata uume kwa kudai unyumba, sasa utapataje huo unyumba wakati umeondoa kifaa cha unyumba?
source: https://www.mwananchi.co.tz/habari/...ai-unyumba/1597284-5183436-ejx98iz/index.html
Ingekuwa ndio mimi nimekatwa 'uume', lazima ningekata kiungo chake kilichotokeza kama 'uume' kwa muda ambao nitachagua mwenyewe.
Sasa unakata uume kwa kudai unyumba, sasa utapataje huo unyumba wakati umeondoa kifaa cha unyumba?
source: https://www.mwananchi.co.tz/habari/...ai-unyumba/1597284-5183436-ejx98iz/index.html