Bonde la Baraka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 4,580
- 7,938
Kama mwanamke si mke wako na huna mpango wa kumwoa usipoteze pesa zako, ikiwezekana mukubaliane kabisa as mnafanya business, na si akuletee shiida zake kana kwamba bila wewe angekufa.
Mapenzi ya rami na viatu yaishe, kila siku viatu ndio huumia.
Kwani utamu kila mtu anao mwenyewe kama unabisha piga punyeto halafu nenda kwa malaya huyo, utamwona kama kaka yako tu.
Halafu ukimpa kila anachohitaji kwako huku anajua kabisa kuwa hamuoani anakuona lofa.
Mapenzi ya rami na viatu yaishe, kila siku viatu ndio huumia.
Kwani utamu kila mtu anao mwenyewe kama unabisha piga punyeto halafu nenda kwa malaya huyo, utamwona kama kaka yako tu.
Halafu ukimpa kila anachohitaji kwako huku anajua kabisa kuwa hamuoani anakuona lofa.