Mtu Asiyejulikana
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 1,694
- 3,982
Huyu dada namfahamu mwezi wa tatu sasa. Ni mzuri sana kwa sura na umbo. Shida zipo ndogo ndogo. Watu ambao amewafollow instagram ni watu ambao mimi naona wa hovyo hovyo. Wasanii n.k. Anavifahamu viwanja ile mbaya na anapiga sana maji. Ana elimu ya Degree hapo IFM.
Anaweza akaja kwangu.there was a time alikuwa likizo. Week nzima amekuja tunakaa asubuhi tunaenda kunywa supu chapati,mchana restaurant na jioni pia.
Kwenye friji kuna vyakula vinaitaji kupikwa. Wala haangiki kabisa.mimi sometimes ndo napika.anakula vizuri bila shida.tutatoa vyombo atarudi sebuleni kucheck movie. Aliwahi nambia hapendi osha vyombo.
Sasa anategemea mimi nimpangie kazi kweli? Na hapo anategemea tuwe wachumba.kama ndani kushafisha anasafisha mdogo wangu.so yeye niwe namtiah tu basi?si sawa.
Akawa anataka nimtambulishe kwa wadogo zangu.basi kwenye event moja nikawaita wadogo zangu wawili.nikawaambia "huyu anaitwa Fatma" na yeye nikamwambia "huyu ni x na huyu ni y"
Basi nikawaruhus waende.alibadilika.tumerudi njia nzima amenuna.week sasa namwona kama mzito kwangu ktk mawasiliano na hivi amemaliza likizo karudi kwake.nami nmeuchukua uzito wake kama chanzo cha kuushusha mgongoni. Wadada wa miaka hii mbadilike mjifunze kuwa wake.
Anaweza akaja kwangu.there was a time alikuwa likizo. Week nzima amekuja tunakaa asubuhi tunaenda kunywa supu chapati,mchana restaurant na jioni pia.
Kwenye friji kuna vyakula vinaitaji kupikwa. Wala haangiki kabisa.mimi sometimes ndo napika.anakula vizuri bila shida.tutatoa vyombo atarudi sebuleni kucheck movie. Aliwahi nambia hapendi osha vyombo.
Sasa anategemea mimi nimpangie kazi kweli? Na hapo anategemea tuwe wachumba.kama ndani kushafisha anasafisha mdogo wangu.so yeye niwe namtiah tu basi?si sawa.
Akawa anataka nimtambulishe kwa wadogo zangu.basi kwenye event moja nikawaita wadogo zangu wawili.nikawaambia "huyu anaitwa Fatma" na yeye nikamwambia "huyu ni x na huyu ni y"
Basi nikawaruhus waende.alibadilika.tumerudi njia nzima amenuna.week sasa namwona kama mzito kwangu ktk mawasiliano na hivi amemaliza likizo karudi kwake.nami nmeuchukua uzito wake kama chanzo cha kuushusha mgongoni. Wadada wa miaka hii mbadilike mjifunze kuwa wake.